
Vikao vya Bunge ya Shirikisho vya anza tena baada ya mapumziko ya majira ya baridi
2008-2020-12ans
12 min
News
Description
Vikao vya bunge la shirikisho vime anza tena baada ya likizo ya mwezi mzima, kwa kiongozi wa upinzani Peter Dutton na waziri mkuu wa zamani Scott Morrison kuzungumzia shutma zilizo tolewa wakati wa likizo kuhusu mienendo yao ya awali.
Uploader
Episodes
1
Vikao vya Bunge ya Shirikisho vya anza tena baada ya mapumziko ya majira ya baridi
2008-2020-12ans