
Taarifa ya Habari 26 Disemba 21
2008-2020-12ans
11 min
News
Description
<p>Simanzi yatawala kifo cha Askofu Mkuu Desmond Tutu aliyefariki akiwa na umri wa miaka 90.</p><p> </p><p> Rais Cyril Ramaphosa asema, "Kufariki kwa Askofu huyo ni sura nyingine ya msiba katika kuaga taifa la kizazi cha watu mashuhuri wa Afrika Kusini ambao wamewaachia urithi wa nchi hiyo uliokombolewa," </p>
Uploader
Episodes
1
Taarifa ya Habari 26 Disemba 21
2008-2020-12ans