
Taarifa ya Habari 25 Aprili 2023
2008-2020-12ans
15 min
News
Description
Wa Australia wameshiriki katika ibada za alfajiri za Anzac Day, pamoja na gwaride kuwaenzi walio hudumia nchi yao. Mwaka huu ni maadhimisho ya miaka 108 ya kampeni ya Gallipoli, katika vita vya kwanza vya dunia nchini Turkiye.
Uploader
Episodes
1
Taarifa ya Habari 25 Aprili 2023
2008-2020-12ans