
Taarifa ya Habari 20 Oktoba 2023
2008-2020-12ans
22 min
News
Description
Waziri Mkuu Anthony Albanese ametupilia mbali safari yakuenda Israel, kabla ya ziara ya mazungumzo ya pande mbili Marekani wiki ijayo Oktoba 23, wakati chama cha Labor cha Australia kina sisitiza hakija gawanyika kwa sababu ya mgogoro kati ya Israel na Hamas.
Uploader
Episodes
1
Taarifa ya Habari 20 Oktoba 2023
2008-2020-12ans