Kufungiwa ndani kutokana na Uviko 19 kulivyoathiri wafanyabiashara
Kufungiwa ndani kutokana na Uviko 19 kulivyoathiri wafanyabiashara

Kufungiwa ndani kutokana na Uviko 19 kulivyoathiri wafanyabiashara

2008-2020-12ans

12 min
News
Play

Description

<p>Wakazi wa Jimbo la NSW hasa mji wa Syndey wameendelea kufungiwa ndani kwa kile kilichoelezewa na wananchi hao kuwa ni sheria ngumu ndefu kutokea nchini humu.</p><p>SBS ilizungumza na mmoja wa wafanyabiashara Bw Hamisi Babu Kumbuka ambaye alidodosa kuhusiana na kufungiwa huko kunavyoathiri wafanyabiashara.</p><p>Gonga hapa kusikiliza zaidi.</p><img src="https://feedpress.me/link/18010/14689354.gif" height="1" width="1"/>

Uploader

xander.star

xander.star

Kufungiwa ndani kutokana na Uviko 19 kulivyoathiri wafanyabiashara - Listen Free | WowFM