
Bobi Wine awekwa katika kizuizi cha nyumbani muda mfupi baada yakuwasili Uganda
2008-2020-12ans
9 min
News
Description
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine amesema siku ya Alhamisi amewekwa katika kizuizi cha nyumbani, baada ya kukamatwa na maafisa wa usalama alipokuwa akirejea nyumbani akitokea nje ya nchi.
Uploader
Episodes
1
Bobi Wine awekwa katika kizuizi cha nyumbani muda mfupi baada yakuwasili Uganda
2008-2020-12ans