
Mambo 05 Ya Kufanya Ili Uwe Na Matumizi Mazuri Ya Muda Wako...!
Chancelvie Djemissi
विवरण
Tuna masaa 24 ambayo yanatutofautisha kati ya mtu mmoja na mwingine kwa namna ambavyo tunatumia muda. Huna muda wa kupoteza kwa kufanya mambo yasiyo Muhimu na msingi kwako na kuacha kufanya mambo ya msingi na Muhimu kwenye maisha yako. Kwani hujui muda ukienda umeenda na hauna mbadala? Kwani hujui future yako inajengwa na nini unafanya kwenye dakika tano zijazo? Kwani hujui wewe ndiyo unapaswa kutumia masaa 24 vizuri Ili upige hatua kwenye maisha yako? Ndio maana unahitaji kuwa na nidhamu ya muda ila unajua faida ya Kutumia muda wako vizuri, lakini unapuuzia si ndiyo? Lakini... Leo utajua mambo matano ambayo ukizingatia basi utakuwa na Matumizi Mazuri ya muda wako; 1. Tambua vitu au mambo gani yanakupotezea muda, Je, ni simu yako inakupotezea muda? Kutazama televisheni muda mwingi? Kucheza ps? Kuzurura? Kumwagilia moyo na Marafiki kila siku? Matumizi makubwa ya mitandao? N.k njia ya kwanza ya kutatua tatizo ni kujua kisababishi cha wewe kupotezea muda wako. Je nini kinakupotezea muda wako? 2. Anza kuweka vipaumbele, Hatupangi kushindwa ila tunashindwa kupanga kwa maana hiyo unapoteza muda kwenye mambo yasiyo ya Muhimu kwako kwa kutokuwa na vipaumbele. Je unajua kazi za umuhimu, Uharaka na zenye matokeo makubwa ni muda gani zinapaswa kufanywa? Basi... Mambo mengine matatu yaliyobaki jumulisha bonus yatakuwa mambo Manne utapata sehemu moja pekee ambayo ni “Maish ni Kuthubutu Podcast” Una sekunde 20 tu za wewe kubofya link hapa chini na Kusikiliza madini haya ya nguvu Ili Uwe Na Matumizi sahihi ya muda wako. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maishanikuthubutu/message
अपलोडर
एपिसोड
Mambo 05 Ya Kufanya Ili Uwe Na Matumizi Mazuri Ya Muda Wako...!
Chancelvie Djemissi