
Sababu Tano (05) Za Kwanini Za Kwanini Unapaswa Kuepuka Majuto Kwenye Maisha Yako
Chancelvie Djemissi
10 min
Kids
Paglalarawan
Je unajua kwamba majuto ni adui wa maisha yako? Ndio adui ni adui mkubwa sana furaha yako, mahusiano yako, malengo yako, ndoto zako n.k hivyo ukichelewa kuchukua hatua kuyaepuka majuto kwenye maisha yako tegemea kupata msongo mkubwa wa mawazo (stress) na kutopiga hatua sababu majuto mara zote hupoteza hamasa pamoja na kutokuwa mwenye ufanisi kwenye kitu unachofanya hivyo njia sahihi ya kuepuka na kuyashinda majuto ni kusikiliza episode hii mpaka mwisho. Usisahau ku Subscribe na kuandikia maoni yako✍🏾 --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maishanikuthubutu/message
Uploader
Mga Episode
1
Sababu Tano (05) Za Kwanini Za Kwanini Unapaswa Kuepuka Majuto Kwenye Maisha Yako
Chancelvie Djemissi